Sunday, October 20, 2013
KWA WANAWAKE: HIZI NDIZO MBINU ZA KUMTEKA AKILI MWANAUME WAKO..HAKUNA HAJA YA KUMWEKEA LIMBWATA.
Kwako ni jambo la kawaida lakini kwa mwanaume sio la kawaida kwa kukuona hivyo tayari unakuwa umeamsha hisia zake. Ukimwona anakuja kutaka haki yake usidhani anakusumbua. Ujue tayari mwenzako alishafiria mbali zamani we huna habari.
Unaweza kuona hilo ni jambo dogo lakini kisaikolojia utakuwa umefanya jambo kubwa. Hapo hata kama atakuwa ameudhiwa kazini atasahau na kukuona wewe mpenzi wake.
Kisaikolojia mpangalio wa vitu ndani na hasa chumbani kama ni mbovu unaweza kuathiri hata tendo la ndoa. Kama chumba ni kichafu vitu havijapangwa vizuri kisaikolojia kunapunguza msisimko wa mapenzi na hata kumfanya mwenzako achukie kufanya na wewe tendo hilo ukadhani hakupendi.
Mazingira mazuri yatamfanya asisimke haraka kimapenzi anapokuwa na wewe na hata kuitamana nyumba yake na kurudi mapema nyumbani.
Sio lazima utumie gharama kubwa usafi wa kawaida unatosha na kupaka rotion kuna fanya ngozi ya mwanamke ikawa laini inayovutia wanaume wanapenda sana wanawake wenye ngozi laini yenye kuvutia inaleta msisimko mumeo anapokuwa anakuangalia mara kwa mara.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment